Zaburi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+ Zaburi 109:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+
5 Umeyakemea mataifa,+ umemwangamiza mwovu.+Jina lao umelifutilia mbali mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+