27 Watu hawa wakiendelea kwenda kutoa dhabihu katika nyumba ya Yehova huko Yerusalemu,+ moyo wa watu hawa pia utarudi kwa bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda; nao hakika wataniua+ na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”
14 Kwa maana Walawi waliviacha viwanja vyao vya malisho+ na miliki+ yao kisha wakaja Yuda na Yerusalemu,+ kwa sababu Yeroboamu+ na wanawe walikuwa wamewaondoa+ wasiwe makuhani kwa Yehova.