5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+
29 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii usiku na mchana, kuelekea mahali ambapo ulisema hivi kupahusu, ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili kusikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+
32 Na kabila moja+ ndilo litakalobaki likiwa lake kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi+ na kwa ajili ya Yerusalemu,+ jiji ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli.