10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
12 “Kwa habari ya nyumba hii unayojenga, kama ukitembea katika sheria+ zangu na kutenda maamuzi yangu ya hukumu+ na kushika amri zangu zote kwa kutembea ndani yake,+ mimi pia hakika nitakutimizia neno nililomwambia Daudi baba yako;+
20 Na ikawa kwamba mara tu Israeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, mara moja wakatuma watu kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya kuwa mfalme juu ya Israeli yote.+ Hakuna yeyote aliyekuwa mfuasi wa nyumba ya Daudi isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+