Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ila tu sitaurarua ufalme wote.+ Nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu+ na kwa ajili ya Yerusalemu ambalo nimelichagua.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini sisi, Yehova ndiye Mungu wetu,+ nasi hatujamwacha; lakini makuhani wanamtumikia Yehova, wana wa Haruni, na pia Walawi katika kazi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 25:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Amazia akawakusanya Yuda na kuwasimamisha kulingana na nyumba ya mababu,+ kulingana na wakuu wa maelfu+ na kulingana na wakuu wa mamia+ kwa ajili ya Yuda wote na Benyamini; naye akawaandikisha kuanzia umri wa miaka 20+ na zaidi, na mwishowe akakuta kwamba walikuwa wanaume bora 300,000 wanaoingia jeshini, wanaotumia mkuki+ na ngao kubwa.+

  • Hosea 11:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uwongo,+ na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anatembea pamoja na Mungu,+ naye ni mwaminifu kwa aliye Mtakatifu Zaidi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki