2 Samweli 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na fadhili zangu zenye upendo hazitaondoka juu yake kama vile nilivyoziondoa juu ya Sauli,+ ambaye nilimwondoa kwa ajili yako. 1 Mambo ya Nyakati 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu;+ na fadhili zangu zenye upendo sitaziondoa kwake+ kama vile nilivyoziondoa kwa yule aliyekutangulia.+ Zaburi 89:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lakini fadhili zangu zenye upendo sitamwondolea mbali,+Wala sitaufanya uaminifu wangu kuwa wauwongo.+
15 Na fadhili zangu zenye upendo hazitaondoka juu yake kama vile nilivyoziondoa juu ya Sauli,+ ambaye nilimwondoa kwa ajili yako.
13 Mimi mwenyewe nitakuwa baba yake,+ na yeye mwenyewe atakuwa mwanangu;+ na fadhili zangu zenye upendo sitaziondoa kwake+ kama vile nilivyoziondoa kwa yule aliyekutangulia.+
33 Lakini fadhili zangu zenye upendo sitamwondolea mbali,+Wala sitaufanya uaminifu wangu kuwa wauwongo.+