32 Na kabila moja+ ndilo litakalobaki likiwa lake kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi+ na kwa ajili ya Yerusalemu,+ jiji ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli.
36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi mtumishi wangu aendelee kuwa na taa sikuzote mbele zangu katika Yerusalemu,+ jiji ambalo nimejichagulia ili kuweka jina langu humo.+