Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 lakini mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua kutoka katika makabila yenu yote ili kuliweka jina lake hapo, kulifanya likae, hapo ndipo mtapatafuta, nanyi mje hapo.+

  • 1 Wafalme 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ila tu sitaurarua ufalme wote.+ Nitampa mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu+ na kwa ajili ya Yerusalemu ambalo nimelichagua.”+

  • 2 Wafalme 21:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+

  • 2 Wafalme 23:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Lakini Yehova akasema: “Nitaondoa Yuda+ pia mbele za macho yangu,+ kama nilivyoondoa Israeli;+ nami nitalikataa jiji hili ambalo nimechagua, naam, Yerusalemu, na nyumba ambayo nimesema hivi kuihusu, ‘Jina langu litaendelea kuwa humo.’”+

  • Zaburi 132:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+

      Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki