2 Mambo ya Nyakati 11:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akaikutanisha nyumba ya Yuda na Benyamini,+ wanaume bora, watu hodari wa vita,+ watu 180,000, wapigane na Israeli ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
11 Rehoboamu alipofika Yerusalemu,+ mara moja akaikutanisha nyumba ya Yuda na Benyamini,+ wanaume bora, watu hodari wa vita,+ watu 180,000, wapigane na Israeli ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.