2 Mambo ya Nyakati 11:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na baada yake akamchukua Maaka+ mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya+ na Atai na Ziza na Shelomithi. 2 Mambo ya Nyakati 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akatawala miaka mitatu katika Yerusalemu, na jina la mama yake lilikuwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na vita vikatokea kati ya Abiya na Yeroboamu.+
20 Na baada yake akamchukua Maaka+ mjukuu wa Absalomu.+ Baada ya muda akamzalia Abiya+ na Atai na Ziza na Shelomithi.
2 Akatawala miaka mitatu katika Yerusalemu, na jina la mama yake lilikuwa Mikaya+ binti ya Urieli wa Gibea.+ Na vita vikatokea kati ya Abiya na Yeroboamu.+