Yoshua 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 na Mispe+ na Kefira+ na Mosa, Waamuzi 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+ 1 Samweli 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha Samweli akasema: “Kusanyeni Israeli+ wote katika Mispa,+ ili nisali+ kwa Yehova kwa ajili yenu.” Yeremia 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi.
20 Basi wana wote wa Israeli wakatoka,+ na kusanyiko likakutanika kama mtu mmoja,+ kutoka Dani+ mpaka Beer-sheba+ pamoja na nchi ya Gileadi,+ likamkutanikia Yehova katika Mispa.+
5 Kisha Samweli akasema: “Kusanyeni Israeli+ wote katika Mispa,+ ili nisali+ kwa Yehova kwa ajili yenu.”
6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi.