1 Wafalme 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova na kufuata njia ya baba yake+ na dhambi yake aliyosababisha Waisraeli kutenda.+
26 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova na kufuata njia ya baba yake+ na dhambi yake aliyosababisha Waisraeli kutenda.+