Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hampaswi kuiinamia miungu yao wala kushawishiwa kuiabudu, nanyi hampaswi kuiga mazoea yao.+ Badala yake, mnapaswa kuharibu kabisa sanamu zao na kuvunjavunja nguzo zao takatifu.+

  • Kutoka 34:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mtabomoa madhabahu zao, mtazivunjavunja nguzo zao takatifu, na kuikata miti yao mitakatifu.*+

  • Kutoka 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Hampaswi kutengeneza miungu ya chuma.+

  • Kumbukumbu la Torati 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Lakini hivi ndivyo mtakavyowatendea: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni nguzo zao takatifu,+ kateni miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza sanamu zao za kuchongwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mnapaswa kubomoa madhabahu zao, kuvunjavunja nguzo zao takatifu,+ kuteketeza kwa moto miti yao mitakatifu,* na kukatakata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao kutoka sehemu hizo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki