24 Hampaswi kuiinamia miungu yao wala kushawishiwa kuiabudu, nanyi hampaswi kuiga mazoea yao.+ Badala yake, mnapaswa kuharibu kabisa sanamu zao na kuvunjavunja nguzo zao takatifu.+
5 “Lakini hivi ndivyo mtakavyowatendea: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni nguzo zao takatifu,+ kateni miti yao mitakatifu,*+ na kuteketeza sanamu zao za kuchongwa.+
3 Mnapaswa kubomoa madhabahu zao, kuvunjavunja nguzo zao takatifu,+ kuteketeza kwa moto miti yao mitakatifu,* na kukatakata sanamu za kuchongwa za miungu yao,+ na kuondoa kabisa majina ya miungu yao kutoka sehemu hizo.+