Kutoka 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wamegeuka haraka na kuacha njia niliyowaamuru wafuate.+ Wamejitengenezea sanamu* ya ndama, nao wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu wakisema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.’” Mambo ya Walawi 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Msiigeukie miungu ya ubatili+ wala msijitengenezee miungu ya chuma.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
8 Wamegeuka haraka na kuacha njia niliyowaamuru wafuate.+ Wamejitengenezea sanamu* ya ndama, nao wanaendelea kuiinamia na kuitolea dhabihu wakisema, ‘Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.’”