Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Msijitengenezee miungu ya ubatili+ wala sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, nanyi msichonge sanamu ya mawe+ katika nchi yenu na kuiinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Zaburi 96:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Miungu yote ya mataifa ni miungu ya ubatili,+

      Lakini Yehova ndiye aliyeziumba mbingu.+

  • Habakuki 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sanamu ya kuchongwa ina faida gani

      Na mtu ndiye aliyeichonga?

      Sanamu ya chuma* na mwalimu wa uwongo ana faida gani,

      Hata ingawa yule aliyeitengeneza anaitumaini,

      Akitengeneza miungu ya ubatili ambayo haiwezi kuongea?+

  • 1 Wakorintho 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki