Danieli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini hata asipotuokoa, Ee mfalme, ujue kwamba hatutaiabudu miungu yako wala kuabudu sanamu ya dhahabu uliyosimamisha.”+ 1 Wakorintho 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.+
18 Lakini hata asipotuokoa, Ee mfalme, ujue kwamba hatutaiabudu miungu yako wala kuabudu sanamu ya dhahabu uliyosimamisha.”+