1 Wafalme 12:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+ Hosea 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+
28 Basi mfalme akafanya shauri,+ akatengeneza ndama wawili wa dhahabu+ na kuwaambia watu: “Ni vigumu mno kwenu kwenda Yerusalemu. Tazama, huyu ni Mungu wenu,+ enyi Israeli, aliyewatoa ninyi katika nchi ya Misri.”+
11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+