3 “Mwana wa binadamu, kuhusu wanaume hawa, wameleta sanamu zao za mavi juu ya mioyo yao, na kikwazo kinachosababisha kosa lao wamekiweka mbele ya nyuso zao.+ Je, watauliza hata kidogo juu yangu?+
12 Kwa sababu waliendelea kuwahudumia mbele ya sanamu zao za mavi+ na kuwa kikwazo cha kuingiza ndani ya dhambi kwa nyumba ya Israeli,+ ndiyo sababu nimeuinua mkono wangu juu yao,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nao watalichukua kosa lao.