12 Kwa sababu waliwahudumia mbele ya sanamu zao zinazochukiza nao wakawa kikwazo na kuwafanya watu wa nyumba ya Israeli watende dhambi,+ ndiyo sababu nimeinua mkono wangu dhidi yao na kuapa,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nao watapata madhara ya kosa lao.