Isaya 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+ Malaki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.
16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+
8 “Lakini ninyi—mmegeuka kando mkaiacha njia.+ Mmesababisha wengi kujikwaa katika sheria.+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ Yehova wa majeshi amesema.