19 “ ‘Katika barabara watatupa fedha yao wenyewe, na dhahabu yao wenyewe itakuwa chukizo. Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwakomboa katika siku ya ghadhabu ya Yehova.+ Nafsi zao hawatazishibisha, nayo matumbo yao hawatayajaza, kwa maana ni kikwazo kinachosababisha kosa lao.+
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+