23 ‘Nami hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilikuwa likitiwa unajisi katikati ya mataifa, ambalo ninyi mlilitia unajisi katikati yao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘wakati nitakapotakaswa katikati yenu mbele ya macho yao.+