Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu atawawekea watoto wa mtu mwovu adhabu ya mtu huyo.

      Lakini Mungu na amlipe ili apate kujua hilo.+

      20 Macho yake mwenyewe na yaone maangamizi yake,

      Na anywe mwenyewe ghadhabu ya Mweza-Yote.+

  • Yeremia 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli aliniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe uyanyweshe mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

  • Yeremia 25:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao wakikataa kukichukua kikombe kutoka mkononi mwako ili wanywe, waambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Lazima mnywe!

  • Yeremia 49:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Tazama! Ikiwa wale ambao hawajahukumiwa kunywa kikombe lazima wakinywe, je, wewe utaachwa kabisa bila kuadhibiwa? Hutaachwa bila kuadhibiwa, kwa maana lazima ukinywe.”+

  • Ufunuo 14:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama wa mwituni+ na sanamu yake na kupokea alama kwenye paji la uso wake au kwenye mkono wake,+ 10 yeye pia atakunywa divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa ndani ya kikombe cha ghadhabu Yake bila kuchanganywa na kitu,+ naye atateswa kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwanakondoo.

  • Ufunuo 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lile jiji kubwa+ likapasuka na kuwa sehemu tatu, na majiji ya mataifa yakaanguka; na Babiloni Mkubwa+ akakumbukwa mbele za Mungu, ili kumpa kikombe cha divai cha hasira ya ghadhabu yake.+

  • Ufunuo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Mlipeni kama alivyowatendea wengine,+ ndiyo, mlipeni mara mbili kwa yale aliyotenda;+ katika kikombe+ alichochanganya, mtilieni mchanganyiko mara mbili.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki