Ufunuo 13:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye* akasimama tuli juu ya mchanga wa bahari. Nami nikamwona mnyama wa mwituni+ akipanda kutoka baharini,+ naye alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, na mataji kumi* juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.
13 Naye* akasimama tuli juu ya mchanga wa bahari. Nami nikamwona mnyama wa mwituni+ akipanda kutoka baharini,+ naye alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, na mataji kumi* juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.