Ufunuo 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watakapomaliza kutoa ushahidi, yule mnyama wa mwituni anayepanda kutoka katika shimo refu lisilo na mwisho* atapigana nao na kuwashinda na kuwaua.+ Ufunuo 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hapa ndipo hekima inapohitajiwa: Yule aliye na ufahamu na afanye hesabu ya namba ya yule mnyama wa mwituni, kwa maana ni namba ya mwanadamu, na namba yake ni 666.+
7 Watakapomaliza kutoa ushahidi, yule mnyama wa mwituni anayepanda kutoka katika shimo refu lisilo na mwisho* atapigana nao na kuwashinda na kuwaua.+
18 Hapa ndipo hekima inapohitajiwa: Yule aliye na ufahamu na afanye hesabu ya namba ya yule mnyama wa mwituni, kwa maana ni namba ya mwanadamu, na namba yake ni 666.+