Ufunuo 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi yule joka akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke, naye akaenda zake kupigana na wale waliobaki wa uzao wake,*+ wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+ Ufunuo 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Akapewa ruhusa ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ na akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.
17 Basi yule joka akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke, naye akaenda zake kupigana na wale waliobaki wa uzao wake,*+ wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+
7 Akapewa ruhusa ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ na akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.