Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 75:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova;+

      Divai inatoa povu nayo imechanganywa kikamili.

      Hakika ataimwaga,

      Na waovu wote duniani watainywa, mpaka machicha yake.”+

  • Ufunuo 11:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini mataifa wakawa na ghadhabu, nayo ghadhabu yako mwenyewe ikaja, na wakati uliowekwa ukafika kwa ajili ya kuhukumiwa kwa wafu na kuwapa thawabu+ watumwa wako manabii+ na watakatifu na wale wanaoliogopa jina lako, wadogo kwa wakubwa, na kuwaharibu wale wanaoiharibu dunia.”*+

  • Ufunuo 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lile jiji kubwa+ likapasuka na kuwa sehemu tatu, na majiji ya mataifa yakaanguka; na Babiloni Mkubwa+ akakumbukwa mbele za Mungu, ili kumpa kikombe cha divai cha hasira ya ghadhabu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki