Zaburi 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atawanyeshea waovu mitego;*Moto na kiberiti+ na upepo unaounguza vitakuwa fungu la kikombe chao. Isaya 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa, lakini hawauoni.+ Wataona bidii yako kwa ajili ya watu wako na kuaibishwa. Naam, moto uliokusudiwa maadui wako utawateketeza.
11 Ee Yehova, mkono wako umeinuliwa, lakini hawauoni.+ Wataona bidii yako kwa ajili ya watu wako na kuaibishwa. Naam, moto uliokusudiwa maadui wako utawateketeza.