Mwanzo 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+ Ezekieli 38:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitamletea hukumu yangu* kwa ugonjwa hatari+ na kwa umwagaji wa damu; nami nitaleta dhidi yake mvua kubwa ya mafuriko na mawe ya mvua+ na moto+ na kiberiti+ na dhidi ya wanajeshi wake na dhidi ya mataifa mengi yaliyo pamoja naye.+
24 Kisha Yehova akaleta mvua ya kiberiti na moto juu ya Sodoma na Gomora—ilitoka kwa Yehova, kutoka mbinguni.+
22 Nitamletea hukumu yangu* kwa ugonjwa hatari+ na kwa umwagaji wa damu; nami nitaleta dhidi yake mvua kubwa ya mafuriko na mawe ya mvua+ na moto+ na kiberiti+ na dhidi ya wanajeshi wake na dhidi ya mataifa mengi yaliyo pamoja naye.+