Zekaria 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na huu ndio ugonjwa hatari ambao Yehova atawaletea watu wote wanaopigana vita na Yerusalemu:+ Miili yao itaoza wakiwa wamesimama, macho yao yataoza yakiwa kwenye matundu yake, na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.
12 “Na huu ndio ugonjwa hatari ambao Yehova atawaletea watu wote wanaopigana vita na Yerusalemu:+ Miili yao itaoza wakiwa wamesimama, macho yao yataoza yakiwa kwenye matundu yake, na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.