Zaburi 137:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+ Yeremia 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+
8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yakoKwa maovu uliyotutendea.+
15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+