Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Shuka uje uketi mavumbini,

      Ewe binti ya Babiloni uliye bikira.+

      Keti ardhini ambapo hakuna kiti cha ufalme,+

      Ewe binti ya Wakaldayo,

      Kwa maana watu hawatakuita tena wewe mwororo na aliyedekezwa.

  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+

  • Yeremia 50:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Semeni jambo hili kati ya mataifa na mlitangaze.

      Inueni ishara* na mlitangaze.

      Msifiche jambo lolote!

      Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+

      Beli ameaibishwa.+

      Merodaki ameshikwa na hofu.

      Sanamu zake zimeaibishwa.

      Sanamu zake zinazochukiza* zimeshikwa na hofu.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki