Yeremia 51:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.” Ufunuo 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+
8 Babiloni ameanguka ghafla, naye amevunjika.+ Mwombolezeeni!+ Leteni zeri kwa ajili ya maumivu yake; labda atapona.”
8 Na mwingine, malaika wa pili, akafuata, akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa+ ameanguka,+ yule aliyeyafanya mataifa yote yanywe divai ya hamu* ya uasherati* wake!”+