Isaya 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Tangazo dhidi ya Babiloni,+ ambalo Isaya+ mwana wa Amozi aliona katika maono: Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+ Isaya 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni: “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake! Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+ Isaya 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na eneo lenye umajimaji, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.
19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+
4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni: “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake! Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+
23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na eneo lenye umajimaji, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.