Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+

  • Yeremia 50:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Neno ambalo Yehova alisema kuhusu Babiloni,+ kuhusu nchi ya Wakaldayo, kupitia nabii Yeremia:

       2 “Semeni jambo hili kati ya mataifa na mlitangaze.

      Inueni ishara* na mlitangaze.

      Msifiche jambo lolote!

      Semeni, ‘Babiloni ametekwa.+

      Beli ameaibishwa.+

      Merodaki ameshikwa na hofu.

      Sanamu zake zimeaibishwa.

      Sanamu zake zinazochukiza* zimeshikwa na hofu.’

       3 Kwa maana taifa limemshambulia kutoka kaskazini.+

      Linaifanya nchi yake kuwa kitu cha kutisha;

      Hakuna mtu anayekaa ndani yake.

      Mwanadamu na pia mnyama wamekimbia;

      Wameenda zao.”

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki