Isaya 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu. Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake. Yeremia 51:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Mbingu na dunia na vyote vilivyomoVitapiga vigelegele vya shangwe kwa sababu ya Babiloni,+Kwa maana waangamizaji watamvamia kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.
17 Tazama, ninawainua Wamedi dhidi yao,+Ambao hawaioni fedha kuwa kituNa ambao hawapendezwi na dhahabu.
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.
48 Mbingu na dunia na vyote vilivyomoVitapiga vigelegele vya shangwe kwa sababu ya Babiloni,+Kwa maana waangamizaji watamvamia kutoka kaskazini,”+ asema Yehova.