Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Shuka uje uketi mavumbini,

      Ewe binti ya Babiloni uliye bikira.+

      Keti ardhini ambapo hakuna kiti cha ufalme,+

      Ewe binti ya Wakaldayo,

      Kwa maana watu hawatakuita tena wewe mwororo na aliyedekezwa.

  • Yeremia 51:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Yehova anasema hivi:

      “Tazameni, ninaleta upepo unaoharibu

      Dhidi ya Babiloni+ na dhidi ya wakaaji wa Leb-kamai.*

  • Danieli 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hii ndiyo maana ya maneno hayo: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.+

  • Danieli 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki