Yeremia 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:12 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 20 “Kila Andiko,” uku. 84
12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+