Isaya 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:23 ip-1 188; ba 27, 29 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:23 Unabii wa Isaya 1, uku. 188 Kitabu kwa Wote, kur. 27, 29
23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na madimbwi ya maji yenye matete, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.