Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tangazo dhidi ya Babiloni,+ ambalo Isaya+ mwana wa Amozi aliona katika maono:

  • Isaya 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Viumbe wa jangwani watalala huko;

      Nyumba zao zitajaa bundi-tai.

      Mbuni watakaa huko,+

      Mbuzi wa mwituni* watarukaruka huko.

  • Yeremia 50:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Kuna upanga dhidi ya Wakaldayo,” asema Yehova,

      “Dhidi ya wakaaji wa Babiloni na dhidi ya wakuu wake na dhidi ya watu wake wenye hekima.+

  • Yeremia 50:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Kwa hiyo, viumbe wa jangwani watakaa pamoja na wanyama wanaopiga mayowe,

      Na mbuni watakaa ndani yake.+

      Hakutakuwa na wakaaji tena ndani yake,

      Wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.”+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki