Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 47:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Umechoka kwa wingi wa washauri wako.

      Na wasimame sasa na kukuokoa,

      Wale wanaoabudu mbingu,* wanaotazama nyota,+

      Wale wanaotoa ujuzi wakati wa miezi mipya

      Kuhusu mambo yatakayokupata.

  • Yeremia 51:57
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Nitawalewesha wakuu wake na watu wake wenye hekima,+

      Magavana wake na watawala wake wasaidizi na mashujaa wake,

      Nao watalala usingizi wa kudumu,

      Nao hawataamka kutoka katika usingizi huo,”+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.

  • Danieli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mfalme akawaita kwa sauti kubwa watu wanaofanya mazingaombwe, Wakaldayo,* na wanajimu.+ Mfalme akawaambia wanaume hao wenye hekima wa Babiloni: “Mtu yeyote atakayesoma maandishi haya na kuniambia maana yake atavishwa mavazi ya zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwake,+ naye atakuwa mtawala wa tatu katika ufalme.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki