Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Halitakaliwa kamwe,

      Wala halitakuwa makao ya watu kwa vizazi vyote.+

      Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

      Na hakuna wachungaji watakaopumzisha mifugo yao huko.

      21 Viumbe wa jangwani watalala huko;

      Nyumba zao zitajaa bundi-tai.

      Mbuni watakaa huko,+

      Mbuzi wa mwituni* watarukaruka huko.

  • Yeremia 51:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+

      Pango la mbwamwitu,+

      Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,

      Bila mkaaji.+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema kwa sauti yenye nguvu: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila roho mchafu* na kila ndege mchafu anayechukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki