Isaya 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+ Isaya 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wanyama wanaopiga mayowe watalia kwa sauti katika minara yake,Na mbwamwitu katika majumba yake ya kifahari. Wakati wake umekaribia, na siku zake hazitarefushwa.”+
19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+
22 Wanyama wanaopiga mayowe watalia kwa sauti katika minara yake,Na mbwamwitu katika majumba yake ya kifahari. Wakati wake umekaribia, na siku zake hazitarefushwa.”+