Yeremia 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+ Yeremia 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+
12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+
15 Mpigieni kelele za vita kila upande. Amejisalimisha.* Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+ Jilipizieni kisasi dhidi yake. Mtendeeni kama alivyotenda.+