Yeremia 51:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ingawa ukuta wa Babiloni ni mpana, utabomolewa kabisa,+Na ingawa malango yake ni marefu, yatawashwa moto. Watu watafanya kazi ya bure;Mataifa yatajichosha ili tu kuuchochea moto.”+
58 Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ingawa ukuta wa Babiloni ni mpana, utabomolewa kabisa,+Na ingawa malango yake ni marefu, yatawashwa moto. Watu watafanya kazi ya bure;Mataifa yatajichosha ili tu kuuchochea moto.”+