Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+

  • Yeremia 51:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Majiji yake yamekuwa kitu cha kutisha, nchi isiyo na maji na jangwa.

      Nchi ambayo hakuna mtu atakayeishi wala kupitia humo.+

  • Yeremia 51:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Kisha useme, ‘Hivi ndivyo Babiloni atakavyozama naye hatainuka tena kamwe+ kwa sababu ya msiba ambao ninamletea; nao watachoka.’”+

      Maneno ya Yeremia yamefikia hapa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki