-
Ufunuo 14:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 yeye atakunywa pia kutokana na divai ya hasira ya Mungu imwagwayo bila kutoholewa ndani ya kikombe cha hasira ya kisasi yake, naye hakika atateswa-teswa kwa moto na sulfa machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwana-Kondoo.
-