Yeremia 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao. Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 25:15 re 207 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:15 Ufahamu, uku. 292 Upeo wa Ufunuo, kur. 206-207 Mnara wa Mlinzi,3/1/1994, uku. 20
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.