Isaya 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini, tazama! furaha na shangwe, kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo, kula nyama na kunywa divai,+ ‘Na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+ Danieli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+
13 Lakini, tazama! furaha na shangwe, kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo, kula nyama na kunywa divai,+ ‘Na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+
5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+