Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+

  • Isaya 56:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Njooni! Acheni nichukue divai kidogo; na acheni tunywe kileo kupindukia.+ Na kesho hakika itakuwa tu kama leo, sikukuu yenye kupita kiasi.”+

  • Amosi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+

  • Luka 17:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, wanaume walikuwa wakioa, wanawake walikuwa wakiolewa, mpaka siku ile ambayo Noa aliingia katika safina, na gharika ikafika na kuwaangamiza wote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki